KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 8, 2016

PPF NANHIF YATILIANA SAINI MKATABA WA HUDUMA YA BIMA YA AFYA KWA WATEJA WAKE WA FAO LA HIARI


MHAN1
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF bwana Michael Mhando  na Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bwana William Erio wakitia saini makubaliano yatakayowawezesha wajasiliamali wanaonufaika na fao la hiari la PPF kupata huduma za bima ya afya kupitia mpango wa kikoa
Mpaka sasa fao la hiari la PPF lina wanachama 12, 000 ambao hivi karibuni wataanza kunufaika na mafao yatolewayo na NHIF baada ya kusainiwa kwa makubaliano hayo
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umeanza kutoa huduma za matibabu kwa wanachama wa VIKUNDI vya WAJASILIAMALI VILIVYOSAJILIWA ambapo kila mmoja anachangia shilingi 76,800 kwa mwaka na kupata matibabu katika hospitali zaidi ya 6000 zilizosajiliwa na NHIF nchi nzima.

No comments:

Post a Comment