KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 8, 2016

WAZIRI WA NCHI TAWALA ZA MIKOA NA IDARA MAALUM ZA SMZ AFUNGUA MRADI WA MAJI MAKUNDUCHI MKOA WA KUSINI UNGUJA

jm1
Waziri wa Nchi Tawala za Mikoa na Idara Maalum Muh. Haji Omar Kheri akisalimiana na wafanyakazi wa Mamla ya Maji Zanzibar (ZAWA) mara baada ya kufika Kijiji cha Makunduchi kufungua mradi wa Miji ikiwa ni shamrashamra za kuazimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
jm2
Waziri wa Nchi Tawala za Mikoa na Idara Maalum Muh. Haji Omar Kheri akifungua pazia pamoja na kufungua Maji kuashiria ufunguzi rasmin wa Mradi wa Maji safi katika Kijiji cha Makunduchi Mkoa kusini Unguja, ikiwa ni shamrashamra za kuazimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
jm3 jm4
Tenki jipya la kuhifadhia Maji lililopo Makunduchi.

No comments:

Post a Comment