Viongozi
mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA ngazi ya Mkoa
na Taifa hii leo wanatarajia kuzindua Rasmi Ofisi ya Mbunge wa Viti
Maalumu Mkoa wa Mwanza (Chadema) iliyopo Mtaa wa Ghana, Kata ya
Nyamanoro Jimboni Ilemela.
Uzinduzi huo utaambana na shughuli mbalimbali ikiwemo kutembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekour Toure. Pichani juu ni Secretary wa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mwanza (Chadema).
Pichani ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoani Mwanza (Chadema), Susan Maseke.


No comments:
Post a Comment