
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel (wa kwanza kulia)
akizungumza na wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi wa kampuni ya magazeti ya
Serikali ya Tanzania Standard Newspaper Ltd (TSN) kuhusu changamoto
mbalimbali za kampuni hiyo leo jijini Dar es Salaam. Kulia kwa katibu
mkuu ni Prof Moses Warioba ambaye ni mwenyekiti wa bodi hiyo.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel akizungumza jambo
na mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa kampuni ya magazeti ya Serikali
ya Tanzania Standard Newspaper Ltd (TSN) Bw.Prof Moses Warioba
(kushoto).
Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi wa
kampuni ya magazeti ya Serikali ya Tanzania Standard Newspaper Ltd
(TSN) wakimskiliza Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa
na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel (hayupo pichani) wakati wa kikao
cha kuzungumzia changamoto mbali mbali za kampuni hiyo.kutoka kulia ni
Dkt Consolatha Ishebabi,Dkt Evelyn Richard na Bw,Alfred Nchimbi.




No comments:
Post a Comment