Msanii
wa kizazi kipya Young Dee akikabidhi zawadi ya tisheti kwa mmoja wa
wateja wa Tigo wa tawi la Makumbusho mapema leo alipofanya ziara ya
kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese na
kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya
wapendanao mwishoni mwa wiki hii .
Msanii
wa kizazi kipya Young Dee akifurahi jambo na mmoja wa wateja wa tawi
zawadi ya tisheti kwa mmoja wa wateja wa Tigo wa tawi la Makumbusho
mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya
Makumbusho ,Tegeta na Manzese na kugawa zawadi na kupiga picha na
mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii.
Msanii
wa kizazi kipya Young Dee akifurahi jambo na mmoja wa wateja wa Tigo
tawi la Makumbusho baada ya kumkabidhi zawadi ya tisheti mapema leo
alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho
,Tegeta na Manzese na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake
kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii .
Wafanyakazi
wa Tigo wa tawi la Makumbusho wakiwa katika picha ya pamoja na msanii
wa kizazi kipya Young Dee akiwa mapema leo alipofanya ziara ya
kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese na
kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya
wapendanao mwishoni mwa wiki hii .
Msanii
wa kizazi kipya Young Dee akihojiwa na mwandishi Emmanuel Onyango
katika Tigo wa tawi la Makumbusho mapema leo alipofanya ziara ya
kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese na
kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya
wapendanao mwishoni mwa wiki hii
No comments:
Post a Comment