KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

March 31, 2016

NAIBU KATIBU MKUU WA CCM AANZA ZIARA MKOANI MBEYA LEO

LUH1
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Rajab Luhwavi, akisalimiana na viongozi wa CCM mkoa wa Mbeya baada ya kuwasili mkoani hapa, leo, Machi 31, 2016, kuanza ziara ya kikazi. Kutoka kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya Mwangwi Kundya, Katibu wa CCM, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Lobe Zongo na Katibu msaidizi Mkuu wa mkoa, Adallah Mayomba.

No comments:

Post a Comment