KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 5, 2016

HEKTA 5000 ZA ARDHI YA KIJIJI CHA LUHANGA WILAYANI MBARALI ZARUDISHWA KWA WANANCHI KUTOKA WAWEKEZAJI


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amosi Makala akizungumza na wananchi wa kijiji cha Luhanga Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya kwa lengo la kutoa tamko la serikali juu ya ulejeshwaji wa ardhi ya wananchi hao hekta 5000 ambazo zilichukuliwa na wawekezaji.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amosi Makala akisisitiza jambo katika Mkutano wa hadhara ulioitishwa na Mkuu huyo wa Mkoa kwa lengo la kuzungumza na wananchi wa kijiji cha Luhanga (Hawapo Pichani)Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya .
Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Luhanga Mbarali Mkoani Mbeya wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Mbeya katika mkutano wa hadhara ulioitishwa na Mkuu huyo wa mkoa(Hayupo Pichani) kwa lengo la kulejeshewa ardhi yao iliyochukuliwa na wawekezaji .
Mkutano ukiendelea katika kijiji cha Luhanga Mbarali kati ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na Wananchi wa kijiji hicho ambao walikuwa katika mgogoro mkubwa wa ardhi na wawekezaji.

No comments:

Post a Comment