![]() |
Rais John Pombe Magufuli |
Bodi ya MCC ilisema hatua yake ilitokana na mzozo kuhusu uchaguzi wa kisiwa cha Zanzibar na utekelezwaji wa Sheria ya Uhalifu wa Mtandao.
Mataifa yaliyositisha ufadhili wao kwa bajeti ya Tanzania hata hivyo hayajaeleza sababu ya kufanya hivyo.
Ubalozi wa Sweden umethibitisha kwamba taifa hilo limesitisha ufadhili wake kwa bajeti ya Tanzania, lakini ukasisitiza kwamba hatua hiyo haihusiani na yaliyojiri katika uchaguzi wa visiwa vya Zanzibar. BBC
No comments:
Post a Comment