KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 20, 2016

WATU WAWILI WAKAMATWA KWA KUDAIWA KUHUSIKA KATIKA TUKIO LA UJAMBAZI KARIAKOO LEO

ja01
 Watuhumiwa wanaodaiwa kuhusika na  Tukio la Ujambazi, wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi mara baada ya kukamatwa mchana leo mchana  katika eneo la Kariakoo, Jijini Dar es salaam.
ja2
Sehemu ya Umati wa watu wakishuhudia tukio la kukamatwa kwa Watuhumiwa hao wanaodaiwa kuhusika na  tukio la Ujambazi.

No comments:

Post a Comment