WAZIRI MAKAMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA SPAIN NCHINI TANZANIA
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mh. January
Makamba akiongea na Balozi wa Spain nchini Tanzania Bw. Felix Costales.
Balozi huyo alimtembelea Mh. Makamba na kufanya mazungumzo ya kudumisha
uhusiano baina ya nchi hizo mbili katika sekta ya Hifadhi na Usimamizi
wa Mazingira.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mh. January
Makamba akiagana na Balozi wa Spain nchini Tanzania Bw. Felix Costales
mara baada ya kufanya mazungumzo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment