![]() |
| Muonekano wa Daraja la Koga baada ya kufanyiwa ukarabati kufuatia kuathiriwa na mvua kubwa zilizonyesha katika mkoa wa Katavi. Daraja hilo kwa sasa linaruhusu magari kupita ya tani 1 hadi 3. |
![]() |
| Muonekano wa barabara ya Tabora-Koga-Mpanda yenye urefu wa Km 356 inayojengwa kwa kiwango cha lami ikiwa katika hatua za awali za ujenzi wake. |
![]() |
| Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Bi. Hanifa Sirengu akitoa taarifa kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa kuhusu hali ya miundombinu katika wilaya yake. |








No comments:
Post a Comment