Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
Dkt. Asha-Rose Migiro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza katika
Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza
Dkt. Asha-Rose Migiro mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania
nchini Uingereza katika Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma.



No comments:
Post a Comment