KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

May 1, 2016

JPM ASEMA HAKUTAKUWA NA MSHAHARA ZA ZAIDI YA MILIONI 15, ASIYETAKA'ASEPE' ASEMA HAIWEZEKANI MWINGINE ALIPWE MIL.30, NA MWINGINGE LAKI 3

Rais John Pombe Magufuli, akihutubia maelfu ya wafanyakazi na watanzania, leo mjini Dodoma amesema kwamba serikaoi yake haina mpango wa kuwalipa baadhi ya wakurugenzi wa mashirika ya umma mshahara wa zaidi ya mil.15 na ambayo hawezi aache kazi.  "Kunzia bajeti inayokuja hakuna mtu atakayeliwa zaidi mil.15, hawezi aache kazi hata leo," alisema huku akisisitiza kwamba serikali yake inaangalia usawa na hali halisi ya uchimi

No comments:

Post a Comment