KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

May 1, 2016

MASHAKA MUGETA AANDIKA HIVI KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK BAADA YA KUTUNUKIWA TUZO

https://scontent-frt3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/13051538_10154239754578474_6127880888286752741_n.jpg?oh=686c94f22cf4b05f0bea277afbd0252a&oe=57A5443D
"Kwa wanaomkumbusha mtangazaji mahiri wa Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD), enzi hizo (hivi sasa ni TBC), Edda Sanga (kushoto) akinikabidhi tuzo ya ushindi. Eda ni miongoni mwa watangazaji wanaopaswa kuwa 'darasa' kwa watangazaji na waandishi wa kizazi cha sasa hasa wasichana na wanawake".

No comments:

Post a Comment