Meneja Masoko wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Alina
Maria Kimaryo (wa pili kushoto), akizungumza wakati wa droo kubwa ya kampeni ya
akaunti ya Malengo ya NBC jijini Dar es Salaam leo ambapo mkazi wa jiji hilo,
Erastus Vincent Mtui (hayupo pichani), alijishindia gari jipya aina ya Toyota
Prado lenye thamani ya shs milioni 167. Wengine kutoka kushoto ni Meneja Malipo
ya Mishahara, Amos Lyimo, Meneja kampeni, Mtenya Cheya, Meneja Uwekezaji na
Wateja Wakubwa wote wa NBC, Dorothea
Mabonye na Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Mrisho Millao. |
No comments:
Post a Comment