KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

May 2, 2016

MKUU WA MKOA WA MARA AWASIMAMISHA KAZI MAAFISA ELIMU

MARA: Mkuu wa Mkoa, Magesa Mulongo amewasimamisha kazi Maafisa Elimu wa Halmashauri 6 na Wakurugenzi Watendaji wa halmashauri hizo.

-Amesema wameshindwa kutoa zawadi kwa watumishi bora wa Idara ya Elimu kwa mwaka mmoja hadi miwili hatua ambayo amesema inachangia kushusha ari ya utendaji wa kazi

No comments:

Post a Comment