KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

May 5, 2016

NSSF YAZIDI KUZOA WANACHAMA WAPYA

Wananchi wa maeneo ya Banana jijini Dar es Salaam wakiwa katika foleni ya kujiandikisha na kujiunga na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa NSSF ambapo jumla ya wanachama 160 walijiandikisha katika eneo hilo. Katika eneo la Mwembeyangawanachama wapya 214 walijiandikisha na Mbagala 132 na kufanya jumla ya wanachama wapya 506 walijiandikisha.
Elimu ikizidi kutolewa kwa wananchi kuhusu Hifadhi ya Jamii.
Mkazi wa jijini Dar es Salaam akiweka alama ya dole gumba baada ya kujiunga na NSSF.
Wananchi wakiendelea kujiandikisha.
Afisa Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Aisha Sango akitoa elimu kuhusu Hifadhi ya Jamii kwa wanachi waliojitokeza katika banda la NSSF.
Wananchi wakisubiri kujiandikisha.

No comments:

Post a Comment