Katibu mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi)
Eng. Joseph Nyamhanga akifafanua jambo kuhusu mpango wa ujenzi wa
kujenga fly overs katika jiji la Dar es salaamu kwa lengo la kupunguza
msongamano wa magari katika jiji hilo kushoto ni muakilishi kutoka
Kampuni ya Kimarekani ya Mabey Bridge Bw. Darren Keep na kulia ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa.
Msimamizi Mkuu wa Daraja la Nyerere Bw. Gerald Sondo akieleza jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Profesa Makame Mbarawa kuhusu maendeleo ya Daraja pamoja na changamoto
wanazozikabili, katika Ziara ya kushtukiza iliyofanya na Waziri huyo leo
jijini Dar es salaamu.
No comments:
Post a Comment