Mkurugenzi
wa Azam Media Tido Mhando (Kushoto) akizungumza wakati wa uzinduzi wa
Maisha Plus East Africa Mkurugenzi wa Maisha Plus East Africa msimu wa
5 ambapo shindano linatarajiwa kuanza hivi karibuni itakapotangazwa
ratiba ya kutafuta washiriki wa shindano hili mikoani na nchi zingine za
Afrika Mashariki, kulia ni mmoja wa waandaji wa shindano hilo Bw.
Masoud Kipanya, Masoud Kipanya ni miongoni mwa waanzilishi wa Maisha
Plus na mtangazaji wa kipindi hicho ambacho huandaliwa na kampuni ya
DMB Company Limited na mwaka huu inandaa kwa udhamini mkubwa wa Azam
Media, Hafla ya uzinduzi huo ilifanyika jana katika studio za Uhai
Productions – Azam, Tabata jijini Dar es salaam. |
No comments:
Post a Comment