Mwenyekiti
wa Baraza la Vyama vya Siasa Nchini Mhe. Peter Kuga Mziray akifafanua
jambo wakati wa kikao cha Baraza kujadili Mapendekezo ya Mfumo wa
utatuzi wa migogoro ndani na baina ya vyama vya siasa kilichofanyika
mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa GEPF Victoria Jijini Dar es salaam .
Kulia ni Mhe. Jaji Francis S.K Mutungi, Msajili wa Vyama vya Siasa na
Mhe. Vuai Ali Vuai, Makamu Mwenyekiti wa Baraza .
Bw.
John Cheyo mmoja wa wajumbe wa Baraza la vyama vya siasa akichangia
hoja wakati wa kikao cha Baraza kujadili Mapendekezo ya Mfumo wa
utatuzi wa migogoro ndani na baina ya vyama vya siasa kilichofanyika
mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa GEPF Victoria Jijini Dar es salaam.
Baadhi
ya wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa wakifuatilia mjadala wakati wa
kikao cha Baraza kujadili Mapendekezo ya Mfumo wa utatuzi wa migogoro
ndani na baina ya vyama vya siasa kilichofanyika mwishoni mwa wiki
katika ukumbi wa GEPF Victoria Jijini Dar es salaam.
Baadhi
ya wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa wakifuatilia mjadala wakati wa
kikao cha Baraza kujadili Mapendekezo ya Mfumo wa utatuzi wa migogoro
ndani na baina ya vyama vya siasa kilichofanyika mwishoni mwa wiki
katika ukumbi wa GEPF Victoria Jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment