Naibu Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura akiwapungia
mkono washiriki wa mashindano ya Riadha Afrika ya Mashariki kwa Vijana
wenye umri chini ya miaka 20 alipokuwa mgeni rasmi wakati wa ufungaji wa
mashindano hayo jana jijini Dar es Salaam.Kulia ni Rais wa Shirikisho
la Mchezo wa Riadha Afrika Mashariki Mhandisi Sadick Ibrahim na kushoto
ni Makamu wa Rais wa Chama cha Riadha Tanzania (RT) William Kallaghe.
Naibu
Waziriwa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James
Wambura akisalimiana na Makamu wa Rais wa Chama cha Riadha Tanzania (RT)
William Kallaghe jana jijini Dar es Salaam wakati wa ufungaji wa
mashindano ya Riadha Afrika ya Mashariki kwa Vijana wenye umri chini ya
miaka 20.Katikati ni Katibu wa Naibu Waziri Bibi. Anna Nkinda.
Makamu
wa Raisi wa Chama cha Riadha Tanzania (RT) Bw. William Kallaghe akisoma
taarifa fupi juu ya mashindano ya Riadha Afrika ya Mashariki kwa Vijana
wenye umri chini ya miaka 20 mbele ya Naibu Waziriwa Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura(kulia mwenye miwani) jana
jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya washiriki wa mashindano ya Riadha Afrika ya Mashariki kwa Vijana
wenye umri chini ya miaka 20 kutoka nchi mbalimbali wakipita mbele ya
Naibu Waziriwa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James
Wambura(hayupo pichani) alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya ufungaji
wa mashindano hayo jana jijini Dar es Salaam.
Naibu
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James
Wambura (wapili kushoto) akiimba wimbo wa Taifa la Tanzania wakati hafla
ya ufungaji wa mashindano ya Riadha Afrika ya Mashariki kwa Vijana
wenye umri chini ya miaka 20 jana jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto
ni Makamu wa Rais wa Chama cha Riadha Tanzania (RT) Makamu wa Rais wa
Chama cha Riadha Tanzania (RT) William Kallaghe,Raisi wa Shirikisho la
Mchezo wa Riadha Afrika Mashariki Mhandisi Sadick Ibrahim na Mkurugenzi
Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo upande wa Miundombinu Alex Nkenyenge.




No comments:
Post a Comment