KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

May 13, 2016

ZANZIBAR YASHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI

 Brasbendi ya Chipkizi ikiongoza matembezi ya wauguzi yakipita katika maeneo
ya Kisonge kuelekea Studio za Rahaleo ambapo sherehe hizo ziliadhimishwa rasmi.
Waandamanaji wakiingia kwa furaha eneo la Studio za Rahaleo ambapo sherehe za siku ya Wauguzi Duniani ziliadhimishwa.
Waziri wa Afya Mhmoud Thabit Kombo aliemuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar
akisoma hotuba katika maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani yaliyofanyika
Ukumbi wa Sanaa Rahale Mjini Zanzibar.
Picha ya pamoja ya baadhi ya viongozi wa wauguzi na Mgeni rasmi, Waziri wa Afya Mhmoud Thabit Kombo.
 Picha na Makame Mshenga Maelezo Zanziba

No comments:

Post a Comment