Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Bibi Sihaba Nkinga akifungua
Mkutano wa watumishi wa Wizara (hawapo pichani) walioshiriki kikao kazi
cha watumishi wote katika ukumbi wa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es
salaam, ikiwa ni sehemu ya kuhitimisha Wiki ya Utumishi wa Umma katika
Sekta ya Maendeleo ya Jamii. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi
wa Raslimaliwatu Erasmus T. Rugarabamu na kushoto ni Mwenyekiti wa
TUGHE wa Tawi Edwin B. Mtembei. (Tarehe 24/6/2016).
Pcha na Mpiga Picha Wetu
|
June 27, 2016
MKUTANO WA KIKAO KAZI CHA WAFANYAKAZI,MAENDELEO YA JAMII CHAFANYIKA DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment