KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 28, 2016

WAZIRI MKUU AIPINGEZA NHIF

sok1
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa mfuko huo.
sok2
Waziri wa Habari Bw. Nape Nnauye akiongozana na Ofisa Masoko na Elimu kwa Umma wa NHIF, Bi. Grace Michael kuelekea kwenye banda la Mfuko huo ambalo liliendesha upimaji wa afya kwa wananchi wote waliofika uwanjani hapo.
sok3
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Bernard Konga akipokea cheti kutoka kwa Waziri Mkuu ambacho kinautambua mchango wa Mfuko katika janga la tetemeko lililotokea mkoani Kagera.
sok4
Mbunge wa Sengerema Bw. William Ngeleja akipima uzito kabla ya mtanange kati ya wabunge wa Yanga na Simba.

No comments:

Post a Comment