KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 22, 2016

BAADA YA TAMKO LA SERIKALI WATUMISHI WAFURIKA VITUO VYA USAJILI

c1
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira akipokea ripoti ya utekelezaji wa zoezi la Usajili watumishi wa Umma toka kwa Afisa Usajili mkoa wa Dodoma Bwana Khalid Mrisho.
c2
Afisa Utawala Bi. Salma Mohamed toka ofisi ya Wakala wa Geolojia (GST) akihakiki orodha ya watumishi wake ambao hawajasajiliwa Vitambulisho vya Taifa, kufuatia agizo la Serikali la kila mtumishi wa Umma kuwa amesajiliwa kufikia Oktoba 31, 2016. Pembeni ni Bi.Rehema Kionaumela Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uratibu Wilaya NIDA
c3
Afisa Usajili NIDA Bw. Devis Lubago, akimsajili na kuchukua alama za kibaiolojia mtumishi wa Umma aliyefika ofisi za NIDA Dodoma kukamilisha usajili.

No comments:

Post a Comment