
Mgeni Rasmi Mhe. Mahmoud Thabit
Kombo, Waziri wa Afya, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (mwenye kaunda
suti ya kijivu) akiwa katika Jukwaa Kuu na viongozi waandamizi kutoka
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Serikali ya Jamuhuri ya Muungano
wa Tanzania pamoja na viongozi kutoka Shirika la Idadi ya Watu Duniani
(UNFPA). Wengine pamoja nae ni Bw. Barnabas Yisa, Ofisa Mkaazi Mfawidhi
UNFPA Tanzania (kushoto) na Mhe. Issa Juma Ally, Mkuu wa Wilaya ya
Kaskazini B (kulia).

Mhe. Salama Abuu Talib, Waziri wa
Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira ambaye pia ni Kaimu Waziri wa Wizara
ya Fedha na Mipango, Zanzibar akihutubia wananchi waliohudhuria sherehe
hizo.

Wananchi wa kijiji cha Kilombero,
Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja wakifuatilia kwa makini
yaliyokua yakijiri wakati hafla ya uzinduzi wa taarifa hiyo.


No comments:
Post a Comment