|
Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama
Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na
wajumbe wa baraza hilo wakati wa kikao cha kujadili maendeleo ya Mkakati wa
Kupunguza Ajali za Barabarani. Kulia ni Katibu Mtendaji wa baraza ambaye pia ni
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga.Kikao hicho
kimefanyika katika ukumbi wa wizara hiyo, Dar es Salaam. (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi)
|
No comments:
Post a Comment