
Mgonjwa
ambaye majina yake hayafahamiki amelazwa katika Hospitali ya Taifa
Muhimbili (MNH) akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali na kujeruhiwa
sehemu ya kichwani.
Mgonjwa
huyu alifikishwa katika hospitali hiyo tarehe 25-09-2016 akitokea
Hospitali ya Vijibweni jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa fomu namba
tatu ya polisi (PF3), mtu aliyegonga alikimbia.


No comments:
Post a Comment