KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 22, 2016

DK.SHEIN AWAZAWADIA WANAFUNZI WALIOFAULU DARAJA LA KWANZA

za1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na Walimu na Wanafunzi wa kidato cha Nne na Sita waliopata daraja la kwanza katika Mtihani wa Taifa katika mwezi Octoba -2015 na Mei mwaka- 2016,sherehe ya kuwazawadia  wanafunzi hao  iliyofanyika leo Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 22/10/2016.
za3
Baadhi ya Walimu na Wanafunzi wa kidato cha Nne na Sita waliopata daraja la kwanza katika Mtihani wa Taifa katika mwezi Octoba -2015 na Mei mwaka- 2016,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza nao leo katika sherehe maalum ya kuwazawadia  wanafunzi hao  iliyofanyika Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 22/10/2016.
za4
Baadhi ya Walimu na Wanafunzi wa kidato cha Nne na Sita waliopata daraja la kwanza katika Mtihani wa Taifa katika mwezi Octoba -2015 na Mei mwaka- 2016,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza nao leo katika sherehe maalum ya kuwazawadia  wanafunzi hao  iliyofanyika Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 22/10/2016.
za5
Baadhi ya Walimu  wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na Wanafunzi wa kidato cha Nne na Sita waliopata daraja la kwanza katika Mtihani wa Taifa katika mwezi Octoba -2015 na Mei mwaka- 2016, katika sherehe maalum ya kuwazawadia  wanafunzi hao  iliyofanyika leo Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 22/10/2016

No comments:

Post a Comment