KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 27, 2016

GAWIO LA WANAHISA TBL LAONGEZEKA

gaw1
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TBL Group,Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa David Msuya,   (wapili kulia )akisisitiza jambo wakati wa  mkutano Mkuu wa 43 wa wanahisa uliofanyika  leo kwenye  Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere  jijini Dar es Salaam.kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa TBL Group Roberto Jarrin, wengine kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa fedha wa TBL Group Wayne Hall na kulia ni Katibu  wa TBL Group Huruma Ntahena.
gaw2
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa TBL Group Roberto Jarrin (kushoto) akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TBL Group,Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa David Msuya,  wakati wa  mkutano Mkuu wa 43 wa wanahisa uliofanyika   kwenye  Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere  jijini Dar es Salaam.
gaw3
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa TBL Group Roberto Jarrin, (wapili kutoka kushoto)akifafanua jambo  wakati wa  mkutano Mkuu wa 43 wa wanahisa uliofanyika   kwenye  Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere  jijini Dar es Salaam ,kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TBL Group,Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa David Msuya.Kushoto ni Mkurugenzi wa fedha wa TBL Group Wayne Hall na kulia ni Katibu wa TBL Group Huruma Ntahena.

No comments:

Post a Comment