Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. January Makamba akizungumza na Mkuu
wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kebwe Stephen Kebwe. Waziri Makamba yuko Mkoani
Morogoro kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha
Parakuyo wakisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
(Muungano na Mazingira) Mhe. January Makamba kabla ya kufanya mkutano wa
hadhara kijijini hapo
No comments:
Post a Comment