Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Makundi mbalimbali ya Wakazi wa Dodoma ambao shughulizao
zinahusiana na mazingira kwenye mkutano uliofanyika ukumbi wa Jengo la
Hazina ndogo, Makulu mkoani Dodoma ambapo alisisitiza dhambi ya kuharibu
mazingira haisameheki hivyo kuwataka kila mmoja awe mstari wa mbele
katika kutunza mazingira.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akizungumza na Makundi mbalimbali ya Wakazi wa Dodoma ambao
shughulizao zinahusiana na mazingira kwenye mkutano uliofanyika ukumbi
wa Jengo la Hazina ndogo, Makulu mkoani Dodoma.
Vijana wa DOYODO ni sehemu ya makundi yaliohudhuria mkutano wa Makamu wa Rais mjini Dodoma.
Wazee Mashuhuri wa mji wa Dodoma ni miongoni mwa waliohudhuria mkutano na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Dampo la kisasa lililopo Chidaye ambalo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hassan alitembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa dampo hilo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akizungumza na Makundi mbalimbali ya Wakazi wa Dodoma ambao
shughulizao zinahusiana na mazingira kwenye mkutano uliofanyika ukumbi
wa Jengo la Hazina ndogo, Makulu mkoani Dodoma.
Vijana wa DOYODO ni sehemu ya makundi yaliohudhuria mkutano wa Makamu wa Rais mjini Dodoma.
Wazee Mashuhuri wa mji wa Dodoma ni miongoni mwa waliohudhuria mkutano na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Dampo la kisasa lililopo Chidaye ambalo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hassan alitembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa dampo hilo.







No comments:
Post a Comment