KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 14, 2016

MAMA JANETH MAGUFULI: JITOKEZENI KUWASAIDIA WAZEE

ab1
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli akisalimiana na viongozi wa mkoa mara baada ya kuwasili mkoani Morogoro kwa ajili ya ziara ya kikazi ya kutembelea vituo vya kulea wazee na watu wasiojiweza vya Chazi na Fungafunga vyote vilivyopo Mkoani huko.
ab6
Baadhi ya Viongozi wa makazi ya Kulea Wazee na watu wenye mahitaji maalum ya Fungafunga yaliyopo Manispaa ya Morogoro wakimuonesha Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli maeneo ya miradi yaliyokatika makazi hayo.
ab8
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli akisalimiana na wazee wanaoishi katika makazi ya Kulea Wazee na watu wenye mahitaji maalum ya Fungafunga yaliyopo Manispaa ya Morogoro.
ab9
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli akisalimiana na wazee wanaoishi katika makazi ya Kulea Wazee na watu wenye mahitaji maalum ya Fungafunga yaliyopo Manispaa ya Morogoro.
ab10
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli akicheza ngoma ya asili na baadhi ya viongozi wa makazi ya Kulea Wazee na watu wenye mahitaji maalum ya Fungafunga

No comments:

Post a Comment