
Mke wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli akisalimiana na viongozi wa
mkoa mara baada ya kuwasili mkoani Morogoro kwa ajili ya ziara ya kikazi
ya kutembelea vituo vya kulea wazee na watu wasiojiweza vya Chazi na
Fungafunga vyote vilivyopo Mkoani huko.

Baadhi ya Viongozi wa makazi ya
Kulea Wazee na watu wenye mahitaji maalum ya Fungafunga yaliyopo
Manispaa ya Morogoro wakimuonesha Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
waTanzania Mama Janeth Magufuli maeneo ya miradi yaliyokatika makazi
hayo.

Mke wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli akisalimiana na wazee wanaoishi
katika makazi ya Kulea Wazee na watu wenye mahitaji maalum ya
Fungafunga yaliyopo Manispaa ya Morogoro.

Mke wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli akisalimiana na wazee wanaoishi
katika makazi ya Kulea Wazee na watu wenye mahitaji maalum ya
Fungafunga yaliyopo Manispaa ya Morogoro.

Mke wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli akicheza ngoma ya asili na
baadhi ya viongozi wa makazi ya Kulea Wazee na watu wenye mahitaji
maalum ya Fungafunga


No comments:
Post a Comment