KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 15, 2016

MAONESHO YA WIKI YA VIJANA KITAIFA WILAYA YA BARIADI MKOANI SIMIYU

ci1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa kazi,Uwezeshaji Wazee,Vijana Wanawake na Watoto Mhe,Moudline Cyrus Castico wakati alipohudhuria katika maonesho ya Wiki ya Vijana Kitaifa katika viwanja vya sabasaba,sambamba na kumuenzi muasisi Mwalimi Julius k,Nyerere katika sherehe za kilele cha mbio za mwenge wa uhuru zilizofanyika Wilayani Bariadi Mkoa wa Simiyu jana.[Picha na Ikulu.]15/10/2016.
ci2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali   wakati alipohudhuria katika maonesho ya Wiki ya Vijana Kitaifa katika viwanja vya sabasaba,sambamba na kumuenzi muasisi Mwalimi Julius k,Nyerere katika sherehe za kilele cha mbio za mwenge wa uhuru zilizofanyika Wilayani Bariadi Mkoa wa Simiyu jana.[Picha na Ikulu.]15/10/2016.
ci3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali   wakati alipohudhuria katika maonesho ya Wiki ya Vijana Kitaifa katika viwanja vya sabasaba,sambamba na kumuenzi muasisi Mwalimi Julius k,Nyerere katika sherehe za kilele cha mbio za mwenge wa uhuru zilizofanyika Wilayani Bariadi Mkoa wa Simiyu jana.[Picha na Ikulu.]15/10/2016.
ci4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akiangalia ubunifu wa vifaa mbali mbali uliofanywa na Vijana wakati alipotembelea mabanda ya maonesho ya Wiki ya Vijana Kitaifa yaliyofanyika  katika viwanja vya sabasaba,sambamba na kumuenzi muasisi Mwalimi Julius k,Nyerere katika sherehe za kilele cha mbio za mwenge wa uhuru zilizofanyika Wilayani Bariadi Mkoa wa Simiyu jana.[Picha na Ikulu.]15/10/2016.
ci5
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akiangalia bidhaa mbali mbali zilizotengenezwa na Vijana kutoka Kisiwani Pemba wakati alipotembelea mabanda ya maonesho ya Wiki ya Vijana Kitaifa yaliyofanyika  katika viwanja vya sabasaba,sambamba na kumuenzi muasisi Mwalimi Julius k,Nyerere katika sherehe za kilele cha mbio za mwenge wa uhuru zilizofanyika Wilayani Bariadi Mkoa wa Simiyu jana.[Picha na Ikulu.]15/10/2016

No comments:

Post a Comment