KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 16, 2016

MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE RIDHIWANI KIKWETE ACHANGIA DAMU.


Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete akiwa katika zoezi la kuchangia damu kwa ajili ya Mama na mtoto,jimboni humo.
Mbunge Ridhiwani akipimwa mapigo ya mojo kabla ya kutoa damu,upimaji wa mapigo ya moyo ni muhimu katika zoezi la utoaji damu.
Mbunge Ridhiwani akipata maelekezo kutoka kwa wahudumu wa afya katika zoezi hilo la kuchangia damu

No comments:

Post a Comment