KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 20, 2016

MBUNGE WA KIEMBESAMAKI ZANZIBAR AKABIDHI MADAWATI 80 SKULI YA KISAUNI

v1
Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Zanzibar Mhe. Ibrahim Raza akisalimiana na wanafunzi wa Shule ya Kisauni alipofika kukabidhi madawati katika skuli hiyo na kuona changamoto zao.
v2
Mwalimu wa Biology wa Shule ya Kisauni Muh’d Ali Muh’d akimueleza Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mhe. Ibrahim Raza juu ya uhaba wa vifaa vya maabara katika skuli hiyo.
v3
Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mhe. Ibrahim Raza akimkabidhi msaada wa Madawati 80 Mwalim Mkuu wa Shule ya Kisauni Machalila Kulima Ndega kwajili ya shule hiyo.

No comments:

Post a Comment