
Mkurugenzi
wa Habari, Hassan Abbas akifanya mahojiano ya kipindi maalum cha heloo
Tanzania kinachorushwa hewani na kituo cha redio Uhuru FM cha Jijini Dar
es Salaam wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari leo
Jijini humo. Kushoto ni mtangazaji wa kipindi hicho, Sheila Simba.

Mkurugenzi
wa Habari, Hassan Abbas akibadilishana mawazo na Mtangazaji wa kipindi
cha heloo Tanzania kinachorushwa hewani na kituo cha redio cha Uhuru FM,
Sheila Simba wakati wa ziara ya kutembelea vyombo vya habari leo Jijini
humo leo Jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi
wa Habari, Hassan Abbas akibadlishana mawazo na Kaimu Mkurugenzi
Mtendaji wa Kituo cha Redio Uhuru FM cha Jijini Dar es Salaam, Angel
Akilimali ikiwa ni sehemu ya mwendelezo ya ziara yake ya kutembelea
vyombo vya habari leo Jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi
wa Habari, Hassan Abbas (katikati) akizungumza na wahariri na waandishi
wa gazeti la Uhuru wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari
leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Mhariri Mtendaji wa Gazeti
hilo, Ramdhani Mkoma na kulia ni Afisa Habari Mwandamizi wa Idara
Habari( MAELEZO), Jonas Kamaleki.

Mkurugenzi
wa Habari, Hassan Abbas akimsalimu mwandishi mwandamizi wa habari za
michezo wa gazeti la uhuru, Sophia Ashery wakati wa ziara yake ya
kutembelea vyombo vya habari leo Jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi
wa Habari, Hassan Abbas akimsalimu mwandishi mwandamizi wa gazeti la
uhuru, Njumai Ngota wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari
leo Jijini Dar es Salaam.


No comments:
Post a Comment