KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 26, 2016

MUSWADA WA HABARI UTATOA FURSA KWA CHOMBO CHA HABARI KUOMBA RADHI PASIPO KUCHUKULIWA HATUA NA MAMLAKA ZINAZOHUSIKA

Mkurugenzi wa Habari, Hassan Abbas akifanya mahojiano ya kipindi maalum cha heloo Tanzania kinachorushwa hewani na kituo cha redio Uhuru FM cha Jijini Dar es Salaam wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari leo Jijini humo. Kushoto ni mtangazaji wa kipindi hicho, Sheila Simba.
Mkurugenzi wa Habari, Hassan Abbas akibadilishana mawazo na Mtangazaji wa kipindi cha heloo Tanzania kinachorushwa hewani na kituo cha redio cha Uhuru FM, Sheila Simba wakati wa ziara ya kutembelea vyombo vya habari leo Jijini humo leo Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Habari, Hassan Abbas akibadlishana mawazo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Redio Uhuru FM cha Jijini Dar es Salaam, Angel Akilimali ikiwa ni sehemu ya mwendelezo ya ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari leo Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Habari, Hassan Abbas (katikati) akizungumza na wahariri na waandishi wa gazeti la Uhuru wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Mhariri Mtendaji wa Gazeti hilo, Ramdhani Mkoma na kulia ni Afisa Habari Mwandamizi wa Idara Habari( MAELEZO), Jonas Kamaleki.
Mkurugenzi wa Habari, Hassan Abbas akimsalimu mwandishi mwandamizi wa habari za michezo wa gazeti la uhuru, Sophia Ashery wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari leo Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Habari, Hassan Abbas akimsalimu mwandishi mwandamizi wa gazeti la uhuru, Njumai Ngota wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari leo Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment