KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 26, 2016

MVUTANO WA PAUL SWEYA VS EFM HUU HAPA

whatsapp-image-2016-10-25-at-3-45-43-pm-3
Paul Sweya
Mwezi wa nne mwaka huu aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM katika kipindi cha Power Breakfast,
Paul James maarufu PJ alihama kituo hicho cha redio na kujiunga E.FM.Baada ya muda kidogo mtangazaji huyo alirejea tena Clouds FM akitokea E FM. Kufuatia hatua hiyo, E FM imefungua malalamiko katika Tume ya Usuluhishi juu ya PJ ambaye alikuwa mwajiriwa wake.
whatsapp-image-2016-10-25-at-3-45-43-pm

No comments:

Post a Comment