
Mwenyekiti wa Mkutano wa Tume ya
Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) ambaye ni
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Bw. Kailima Ramadhani akifafanua jambo
kwenye mkutano huo wa siku mbili unaofanyika mjini Unguja visiwani
Zanzibar.

Mwenyekiti Mwenza wa Mkutano wa
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)
ambaye ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa ZEC Bw. Salum Kassim Ali, akieleza
jambo kwenye mkutano huo wa siku mbili unaofanyika mjini Unguja visiwani
Zanzibar



No comments:
Post a Comment