KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 6, 2016

NEC NA ZEC ZAKUTANA KUBORESHA MAMBO YAO

loc1
Mwenyekiti wa Mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)  na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) ambaye ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Bw. Kailima Ramadhani akifafanua jambo kwenye mkutano huo wa siku mbili unaofanyika mjini Unguja visiwani Zanzibar.
loc2
Mwenyekiti Mwenza wa Mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)  na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) ambaye ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa ZEC Bw. Salum Kassim Ali, akieleza jambo kwenye mkutano huo wa siku mbili unaofanyika mjini Unguja visiwani Zanzibar
loc3
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)  Bw. Emmanuel Kawishe akifafanua jambo kwenye  Mkutano wa NEC  na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) unaofanyika mjini Unguja visiwani Zanzibar.Kushoto ni Mhasibu Mkuu wa NEC Suleiman Balula

No comments:

Post a Comment