
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akifafanua jambo kwa wajumbe wa Bodi ya
Wakurugenzi ya Shirika la Posta katika uzinduzi wa bodi hiyo
uliofanyika jijini Dar es salaam.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Prof. Faustin Kamuzora
akisoma taarifa ya utekelezaji wa Shirika la Posta kwa Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa katika uzinduzi wa Bodi
ya Wakurugenzi ya Shirika hilo uliofanyika jijini Dar es salaam.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi
ya Shirika la Posta Dkt. Haruni Kondo akisoma taarifa ya uendeshaji wa
Shirika hilo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame
Mbarawa katika uzinduzi wa bodi hiyo uliofanyika jijini Dar es salaam.

Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya
Wakurugenzi ya Shirika la Posta wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa katika uzinduzi wa bodi hiyo
uliofanyika jijini Dar es salaam.


No comments:
Post a Comment