KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 3, 2016

TANZANIA YAADHIMISHA YA SIKU YA WAZEE DUNIANI 2016

chig1
Mh. Waziri Waziri Ummy A. Mwalimu akipiga ngoma ya asili wakati wa madhimisho ya siku ya wazee duniani yaliyofanyika kitaifa wilaya ya mbalali, mbeya 1.10.2106
chig2
Wazee wakipita mbele ya mgeni rasmi Mh. Ummy A. Mwalimu wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wazeeduniani yaliyofanyika kitaifa koanii Mbeya.1.10.2016
……………………………………………………..
Na Erasto Ching’oro  na rehema Kasimoto,  Rujewa- Mbarali, Mbeya
*Lengo ni kuondoa kero kwa wazee katika kupata Huduma za Afya
*Waziri wa Afya kupeleka Bungeni Mswada wa Sheria ya Taifa ya Wazee  kabla ya mwezi June 2017 ili pia kuweka  wajibu wa kisheria kwa watoto/familia kuwatunza wazee wao.

No comments:

Post a Comment