KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 26, 2016

TANZIA: MAMA MZAZI WA MHARIRI MKUU WA HABARI LEO NICODEMUS IKONKO AFARIKI DUNIA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhxt4hXGZ0MkeZUoYwylZIMcO8tsMVnZLgfEexsg57zZ-5Tc2A3i0MUA3O7FI5Rb0D7jsxU7VylcxEDRDUY68Aa_eWlyOm1E471VFIyQ6p_lMa-KMzWv61UZitX_vkYQmtyikmENo2DrI9I/s1600/unnamed.jpg
Arusha Press Club inawataarifu kuwa inasikitika kutangaza kifo cha Mama yake mzazi wa bndugu yetu ambaye alikuwa mwenyekiti wa kwanza wa Arusha press club Nicodemus Ikonko (pichani akiwa na marehemu) na ambaye kwa sasa ni Mhariri Mkuu wa gazeti la Serikali la Habari Leo jijini Dar es salaam.

 Mama amefariki jana  saa tatu asubuhi akiwa anapata matibabu katika hospitali ya Taifa  ya Muhimbili. Kuhusu taratibu za maziko tutaendelea kujuzana hapo baadae. Mipango ya mazishi yanafanyika nyumbani kwa Bw. Ikonko huko Ukonga jijini Dar es salaam. 

Habari zaidi tutazitoa kadri zitapotufikia.

No comments:

Post a Comment