KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 3, 2016

TAZAMA VIDEO YA KIJANA ALIYETOBOLEWA MACHO BUGURUNI AKIWA NA RC MAKONDA ALIYEMTEMBELEA



Kijana Said Ally akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nyumbani kwake, Mkuu wa Mkoa alikwenda kumjulia hali. Kijana huyo  amepoteza macho yake mawili baada ya kuchomwa na visu na mtu aliyejulikana kuwa ni kibaka maeneo ya Buguruni.
Sid Ally alikuwa akisimulia tukio hilo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul makonda…’Nilikuwa natoka kazini majiri ya saa nne usiku nikawa nimesimama maeneo ya Buguruni na nunua Kuku kwa ajili ya kupeleka nyumbani ndio alipokuja mtu kwa nyuma yangu na kuomba nimsaidie‘
‘Baada ya muda yule mtu akanichoma kisu kwenye bege langu nikawa na piga kelele watu wanisaidie lakini sikupata msaada pale watu wote walikuwa wananiangali tu‘>>>Said Ally

No comments:

Post a Comment