KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 4, 2016

ULEGA: MUDA WA SASA NI KUFANYA MAENDELEO NA SIO VINGINEVYO.

ul3
Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega akizungumza katika mkutano wa wananchi wa kitogoji cha Kikonga juu ya changamoto zinazowakabili akiwa ziara yake kijiji kwa kijiji kwa kushukuu wananchi kwa kumchagua pamoja kuangalia maendeleo leo katika Kijiji cha Bupu Wilaya ya Mkuranga.
ul4
Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega akiwaonyesha wananchi Diwani wao,Abbas Msangule jinsi ya kushirikiana naye kwa maendeleo katika Kijiji cha Kondo Mwelazi katika ziara yake kijiji kwa kijiji kwa kushukuu wananchi kwa kumchagua pamoja kuangalia maendeleo leo katika Kijiji cha Bupu Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani.
ul5
Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega akiwa katika picha ya pamoja  na walimu wa  shule ya msingi  Kondo Mwelazi alipowatembelea kujua mazingira walionayo  na kuwashukuru kuendelea na moyo licha ya kuwa na mazingira mgumu leo.

No comments:

Post a Comment