
Mbunge wa Mkuranga, Abdallah
Ulega akizungumza katika mkutano wa wananchi wa kitogoji cha Kikonga juu
ya changamoto zinazowakabili akiwa ziara yake kijiji kwa kijiji kwa
kushukuu wananchi kwa kumchagua pamoja kuangalia maendeleo leo katika
Kijiji cha Bupu Wilaya ya Mkuranga.

Mbunge wa Mkuranga, Abdallah
Ulega akiwaonyesha wananchi Diwani wao,Abbas Msangule jinsi ya
kushirikiana naye kwa maendeleo katika Kijiji cha Kondo Mwelazi katika
ziara yake kijiji kwa kijiji kwa kushukuu wananchi kwa kumchagua pamoja
kuangalia maendeleo leo katika Kijiji cha Bupu Wilaya ya Mkuranga mkoani
Pwani.

Mbunge wa Mkuranga, Abdallah
Ulega akiwa katika picha ya pamoja na walimu wa shule ya msingi Kondo
Mwelazi alipowatembelea kujua mazingira walionayo na kuwashukuru
kuendelea na moyo licha ya kuwa na mazingira mgumu leo.


No comments:
Post a Comment