
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na
Madini Prof.Justin Ntalikwa na Katibu Mtendaji Baraza la Taifa
uwezeshaji wananchi kiuchumi Bi.Beng’i Issa wakipata maelezo toka kwa
Bi Shamsa Diwani wa kikundi cha MIVA kinachojiusisha na uchimbaji mdogo
wa madini na usio rasmi leo jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano kazi
wa wadau wanawake katika sekta ya madini.

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na
Madini Prof.Justin Ntalikwa na Katibu Mtendaji Baraza la Taifa
uwezeshaji wananchi kiuchumi Bi.Beng’i Issa wakipata maelezo toka kwa
Bi Susan Fred wa TAMICUSO ambao wanajiusisha na uchimbaji mdogo wa
madini ya Tanzanite jijini Arusha.

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na
Madini Prof.Justin Ntalikwa akiuliza swali kwa Bi Martha Kayaga wa
kikundi cha WAWACHISI tokea singida jinsi wanavyochimba madini ya gypsum
na kuyahifadhi katika mkutano wa wadau wanawake katika sekta ya
madini.Kulia ni Katibu Mtendaji Baraza la Taifa uwezeshaji wananchi
kiuchumi Bi.Beng’i Issa.



No comments:
Post a Comment