KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 13, 2016

WACHIMBAJI WA MADININI WATAKIWA KUTAFUTA ELIMU NA TEKNOLOJIA

beng1
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Prof.Justin Ntalikwa na Katibu Mtendaji Baraza la Taifa uwezeshaji wananchi kiuchumi  Bi.Beng’i Issa  wakipata maelezo toka kwa Bi Shamsa Diwani wa kikundi cha MIVA kinachojiusisha na uchimbaji mdogo wa madini na usio rasmi leo jijini  Dar es Salaam wakati wa mkutano kazi wa wadau wanawake katika sekta ya madini.
beng2
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Prof.Justin Ntalikwa na Katibu Mtendaji Baraza la Taifa uwezeshaji wananchi kiuchumi  Bi.Beng’i Issa wakipata maelezo toka kwa Bi Susan Fred wa TAMICUSO ambao wanajiusisha na uchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite jijini Arusha.
beng3
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Prof.Justin Ntalikwa akiuliza swali kwa Bi Martha Kayaga wa kikundi cha WAWACHISI tokea singida jinsi wanavyochimba madini ya gypsum na kuyahifadhi katika mkutano wa wadau wanawake katika sekta ya madini.Kulia ni Katibu Mtendaji Baraza la Taifa uwezeshaji wananchi kiuchumi  Bi.Beng’i Issa.
beng4
Katibu Mtendaji Baraza la Taifa uwezeshaji wananchi kiuchumi  Bi.Beng’i Issa akizungumza na wanawake wachimbaji madini wadogo wadogo(hawapo pichani) leo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere walipokutana katika mkutano kazi wa wadau wanawake katika sekta ya madini

No comments:

Post a Comment