KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 13, 2016

WANANCHI WAASWA KUTOA TAARIFA WANAPOPATWA NA MADHARA YA DAWA.

daw1
Afisa wa Uthibiti wa Majaribio na Usalama wa Dawa (TFDA)Dkt. Alex Nkayamba kushoto akimpa maelekezo Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu kuhusu mfumo wa wa kielektroniki wa utoaji wa taarifa za madhara ya dawa unavyopatikana kwenye simu za mkononi wakati wa hafla yauzinduzi wa huduma hiyo uliofanyika jijini Dar es salaam, Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TFDA Bw.  Hiiti Sillo.
daw2
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wa kwanza kushoto akiangalia jinsi mfumo wa wa kielektroniki wa utoaji wa taarifa za madhara ya dawa unavyofanya kazi katika kutoa tarifa wakati wa hafla ya uzinduzi wa huduma hiyo, wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TFDA Bw.  Hiiti Sillo.
daw3
Wadau mbalimbali wa vyakula na dawa wakifuatilia kwa makini maelezo ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu hayupo pichani wakati wa uzinduzi wa mfumo wa wa kielektroniki wa utoaji wa taarifa za madhara ya dawa uliyofanyika hivi karibuni Jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment