
Afisa wa Uthibiti wa Majaribio na
Usalama wa Dawa (TFDA)Dkt. Alex Nkayamba kushoto akimpa maelekezo
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu
kuhusu mfumo wa wa kielektroniki wa utoaji wa taarifa za madhara ya dawa
unavyopatikana kwenye simu za mkononi wakati wa hafla yauzinduzi wa
huduma hiyo uliofanyika jijini Dar es salaam, Kulia ni Mkurugenzi Mkuu
wa TFDA Bw. Hiiti Sillo.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wa kwanza kushoto akiangalia
jinsi mfumo wa wa kielektroniki wa utoaji wa taarifa za madhara ya dawa
unavyofanya kazi katika kutoa tarifa wakati wa hafla ya uzinduzi wa
huduma hiyo, wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TFDA Bw. Hiiti
Sillo.



No comments:
Post a Comment