Siku
kadhaa baada ya kuwasili nchini, Rais na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la
EngenderHealth, Ulla Muller amefanyiwa halfa ya kumkaribisha nchini na
wafanyakazi wa shirika hilo lenye makao makuu yake nchini New York,
Marekani.
MO Blog imekuwekea picha jinsi halfa hiyo ilivyofanyika.
MO Blog imekuwekea picha jinsi halfa hiyo ilivyofanyika.
| Rais na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la EngenderHealth, Ulla Muller akizungumza na wadau wa afya na wadau wa Elimu  kuhusiana na Uzazi wa Mpango wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumkaribisha hapa nchini. |
| Mkurugenzi Mkazi wa shirika la EngenderHealth hapa nchini, Richard Killian akibadilishana mawazo na baadhi ya wadau wa afya na elimu katika hafla ya Kumkaribisha Rais na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la EngenderHealth, Ulla Muller hapa nchini |


No comments:
Post a Comment