Wafanyakazi
wa Vodacom Tanzania , wakimsikiliza kwa makini Meneja wa mauzo
Happiness Shuma alipokuwa akitoa mada kuhusiana na elimu ya ugonjwa
wa saratani ya matiti, wakati wa zoezi la kuwapima wafanyakazi wa
kampuni hiyo lililofanyika makao makuu ya kampuni hiyo yaliyopo Mlimani
city jijini Dar es Salaam,ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya mwezi wa
saratani duniani. |
No comments:
Post a Comment