KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 9, 2016

WAKAZI WA DAR NA PWANI WANUFAIKA NA SMART GULIO LA VODACOM TANZANIA WIKIENDI HII

 Wateja wakifurahia simu za smart phone baada  ya kuzinunua kwenye Gulio la biashara za bidhaa za Mawasiliano lililoandaliwa na Vodacom Tanzania katika viwanja vya Mlimani City jijini Dar es Salaam leo.

Gulio la Smart phone lililoandaliwa na Vodacom Tanzania katika viwanja vya Mlimani City jijini Dar es Salaam leo lilihudhuriwa na wateja wa rika zote , watoto na wazazi wao kama wanavyoonekana hawa wakazi hao wakiangalia vipeperushi.

Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakitoa maelezo kwa wakazi wa Dar es Salaam waliohudhuria Gulio la biashara za bidhaa za Mawasiliano lililoandaliwa na Vodacom Tanzania katika viwanja vya Mlimani City jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment