KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 8, 2016

WAKAZI WA JIJI LA DAR WASHIRIKI MAZOEZI YA VIUNGO CHINI YA VODACOM TANZANIA

Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam,wakishiriki katika mazoezi ya viungo yaliyoandaliwa na EFM radio na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania,Wakifanya mazoezi katika kiwanja cha Magunia Msasani jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam,wakishiriki katika mazoezi ya viungo yaliyoandaliwa na EFM radio na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania,Wakifanya mazoezi katika kiwanja cha Magunia Msasani jijini Dar es Salaam.

Msanii chipukizi wa mziki wa singeli, Yohana Mruta akiimba baada ya mazoezi ya viungo kuisha yaliyoandaliwa na EFM radio na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania katika kiwanja cha Magunia Msasani jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment